• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

RC Wangabo Aingilia kati Mgogororo Waujezi Wa Kituo Cha Afya Kalambo.

Posted on: June 25th, 2019
  • Hatimaye mkuu wa mkoa wa Rukwa Jochochim  wangabo amengilia  kati mgogoro  wa ujenzi wa kituo cha  afya cha  samazi wilayani  kalambo uliomudu kwa zaidi ya miezi miwili baada kutokea kwa mvutano baina ya vijiji vinne huku kila kijiji kikitaka ujezi ufanyike sehemu yake na hivyo kupelekea  uongozi wa halmashauri hiyo kusimamisha harakati za ujezi  huo kwa lengo la kutafuta suruhu.
  • Kata  ya  samazi  inapatikana   katika  mwamabao wa  ziwa Tanganyika licha  ya  hilo  kata hiyo imekuwa ikikabiliwa na chanagamoto kubwa ya ukosefu  wa kituo  cha afya hali ambayo  imekuwa  ikiwalazimu  wananchi  kutembea umbali wa zaidi  ya km20 ili kutafuta huduma za matibabu   katika kituo cha afya cha Ngolotwa.
  •  Kwa  kulina  hilo  serikali  ilitoa  fedha  kiasi  cha shilingi million mia nne kwa ajili  ya  ujezi  wa  kituo  cha afya katika maeneo  hayo  na  kutoa  maelekezo   kwa  wananchi  kutafuta   eneo  la   ujezi  hali  ambayo  ilipelekea kila  kijiji  kutoa  mapendekezo yake na huku baadhi  yao  wakitaka  kituo  hicho  kujengwa  juu  ya  mlima na  huku  wengine wakiwa  na  mapendekezo  tofauti na  kupelekea  uongozi  wa  mkoa  huo  kuingilia  kati swala hilo.
  • Mkuu wa wilaya hiyo Julieth Bniyura aliwataka  wananchi  kufanya mamuzi sahihi juu  ya  eneo hilo na  kuwasisitiza kuchagua eneo  ambalo litakuwa na tija kwa manufa ya wengi.
  • ENonos Budodi mwenyekiti   wa jumuhiya  ya  wazazi mkoani  humo  alisema lengo  la  serikali ni  kuhakikisha wananchi  wanapataa huduma  bora  na  safi  kwa  muda  muafaka  na  kuwasisitiza  kukubalina na maaoni  yatakayo tolewa na serikali.
  • Kwa  upande wake mkuu  wa mkoa  huo Joachim Wangabo  alisema    mjenga  nchi  ni mwananchi  mwenyewe na mbomoa  nchi ni  mwananchi  mwenyewe  na  kuwasihi  kuendelea   kufanya maendeleo  katika  eneo ambalo  lilikuwa limechaguliwa.
  • Alisema selikali  imetoa  fedha  hizo  kwa  lengo la kuwasaidia  wananchi kuondoka  na  adha  ya  kutembea  umbali  mrefu  wakati  wa  kutafuta huduma  za matibabu na  kusema mradi  huo  utatakiwa  kumudu ndani ya miezi  mitatu.
  • Kwa upande wake mkurugezi mtendaji  wa  hamshauri hiyo Palela  Msongera alisema wamejipanga  kuanza ujenzi huo mapema  na kuwa  tangia  awali  walikuwa wakisubiri mapendekezo ya eneo kutoka   kwa wananchi.
  • Wananchi  kwa  upande wao waliipongeza  serikali kwa kuwaunga mkono  mapendekezo yao na kuwa  watakuwa  msitar wa mbele  ili kuhakikisha  wanafikia  lengo. 

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.