• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Serikali Kuanzisha Mtaala Mpya Wa Kupambana Na Matukio Ya Kikatili.

Posted on: February 26th, 2020


Watu 2,612 kutoka Mikoa 26 hapa Nchini wamenufaika na mtaala mpya ulionzishwa na Serikali kupitia wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii , Jinsia,Wazee na Watoto wenye lengo la kutoa mafunzo kwa wasaidizi wa kisheria ili kutokomeza matukio ya kikatili dhidi ya Watoto wenye umri kuanzia {0-8}

 Katika kukabiliana na hali hiyo Serikali Nchini emeanzisha mkakakati wa kupambana na matukio ya kikatili wa kijinsia kwa kuanzisha madawati 408 katika vituo vya Polisi pamoja na kuongeza vituo vya mkono kwa mkono kutoka 10 hadi kufikia vituo 13 kwa mwaka 2017 na vituo13 kwa mwaka 2019.

Kaimu katibu mkuu Wizara ya Afya , Maendeleo ya Jamii , Jinsia Wazee na Watoto Imelda Kamugisha kupitia madhimisho ya siku ya Wanawake yaliofanyika katika Manispaa ya Sumbawanga Mkoani Rukwa alibainisha kuwa;-

‘’Takwimu zinaonesha kuwa ukatili wa kijinsia unafanyika zaidi nyumbani na  mashuleni, wanaofanya vitendo hivi vya kikatili ni aidha, ndugu wa karibu au watu wenye nafasi na mamlaka ambao  badala ya kulinda Vijana na Watoto wetu wao ndio wanaleta madhara haya ya kikatili. ‘’Alisema kamgisha.

Alisema Serikali imejipanga kutofumbia macho maswala hayo hata kama itaonekana kutendwa na wanafamilia wenzao na kusihi Wananchi kutoa  ushirikino  ili kuwabaini wahusika wa matukio hayo .

‘’Sera ya maendeleo ya Wanawake na jinsia inasisitiza kuwepo kwa  usawa na jinsia na kuendeleza Wanawake, kijamii, kiuchumi na kiutamaduni pamoja na  kuendelea kutekeleza mpango wa Taifa 2017\2018 –{2020\2021, mpango unaolenga kupunguza kiwango cha ukatili  dhidi  ya Wanawake na Watoto wenye umri kati ya  miaka {0-8}

Akiongea kwa niaba  ya  Mkuu wa Mkoa  huo kupitia  madhimisho hayo , Mkuu wa Wilaya ya Kalambo  Julieth Binyura, alisema  mimba kwa Wanafunzi  zimepungua   kutoka 200  mwaka 2018 hadi 193 kwa  mwaka 2019.

‘’kwa mwaka  2018 Mkoa ulikuwa na jumla ya  mimba 200 kwa  watoto waliopo katika  Shule za msingi  na sekondari ikiwa  mimba 58 kwa  Shule za msingi na 142 kwa  Shule  za sekondari. Katika kipindi  cha kuanzia  January 2019 hadi Desemba 2019 takwimu za mimba ziliripotiwa  kwa  Watoto waliopo Shule za msingi ni 50 na sekondari 143 ikifanya  jumla ya mimba193 kwa  Mkoa.’’alisema Binyura.

 Alisema licha  ya hilo  Serikali kupitia  Halmashauri  zake umepokea  taarifa  ya  mashauri 308 yanahusu migogoro ya  ndoa  na mashauri 388yakihusu matatizo matunzo ya  Wat

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.