• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Serikali Wilayani Kalambo Yatoa Misaada Kwa Wathirika Wa Maafa Ya Mvua.

Posted on: July 22nd, 2019

Uongozi wa halmashauri ya wilaya ya kalambo mkoani Rukwa umetoa misaada ya vitu mbalimbali kwa watu waliokuwa wamethirika na maafa ya mvua ilionyesha march 2019 katika kata ya lyowa na kusabisha zaidi ya watu120 kukosa makazi na huku ukisisitiza zaidi wananchi kujenga nyumba bora pamoja na kupanda miti kwa kila kaya kwa lengola kuondoka na adha ya kujirudia kwa matukio hayo.

Kata ya lyowa ni miuongoni mwa kata wilayani humo ambazo zimekuwa zikikabiliwa na changamoto kubwa ya mvua kuharibu  makazi ya wananchi kila mwaka kutokana na maeneo hayo kuwa na ukosefu wa miti ya kutosha na huku mwaka 2019 zaidi ya watu 120 wakidaiwa kukosa makazi na hivyo kupelekea uongozi wa halmashauri hiyo kutoa misaada kwa watu waliokuwa wameathirika na maafa hayo.

Awali akikabithi misaada  hiyo makamu  mwenyekiti wa halmashauri  hiyo Legius Boimanda  alisema wataendelea kutoa misaada kulingana nafedha zinavyopatikana na kuwasihi wananchi kuendelea kujenga nyumba bora na nimara kwakushirikana na wataalamu wa halmashauri husika.

Alisema misaada iliotolewa ni kutokana na michango ya watu mbalimbali kutoka kata  ya  Lyowa na Matai na kuwa watu 50 wamepatiwa fedha na vyakula na kusema wataendelea  kutoa misaada kulingana na fedha zivyopatikana kutoka kwa wadau.

Alisema kila mwaka eneo hilo limekuwa nikikabiliwa na changamoto kubwa ya nyumba  kuboka kutoka na maeneo hayo kuwa na ukosefu wa miti ya kutosha .

‘’ndugu  wananchi  ningewaomba mpande  miti  kwa  wingi  ili tuondokane na adha ya kuboka  kwa nyumba zetu na pia ni vizuri  kama kila mtu akijenga nyumba kwa  kuzingatia  kanuni bora  za ujezi’’alisema Boimanda.

Baadhi ya wachunganji na mashehe waliupongeza  uongozi wa halmashauri  hiyo kwa jitihada  hizo na kuwaombea kwa mungu kuendelea kuwa na moyo huo hata kwa watu wengine  waliopata adha kama  hiyo.

Hata hivyo kufuatia maafa hayo  kutokea maeneo hayo mkuu wa wilaya hiyo Julieth Binyura ,alisema kila  mwananchi  anawajibu  wa  kupanda  miti mitano sambamba  na  kujenga  nyumba  bora na imara .

‘’niwakumbushe wananchi wangu kuwa  kila mwananchi  anawajibu  wa kupanda miti  kwa kila kaya ili kuondokana nadha hii ambayo imekuwa ikijitokeza kila wakati na kusababisha maafa’’alisema Binyura.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.