• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Serikali Yatoa Billion 1.7 Kuchimba Bwawa La Maji Katika Kijiji Cha Kalemasha Wilayani Kalambo

Posted on: December 28th, 2022

 

Serikali imetoa fedha billion 1.7  kwa ajili ya uchimbaji wa bwawa la maji katika kijiji cha Kalemasha wilayani Kalambo Mkoani Rukwa litakalohudumia watu 25000  kutoka vijiji vitano vya kata Mbuluma na kutatua changamoto ya muda mrefu ya maji iliyokuwa ikivikabili vijiji hivyo,

Kamati ya usalama ya wilaya ya kalambo imefanya ziara ya ukaguzi wa mradi huo leo Disemba 28/2022 ili kujionea maendeleo ya ujenzi wa mradi huo , ambapo mkuu wa wilaya hiyo Tano Mwela, amesema  fedha hizo zimetolewa kwa ufadhili wa mfuko wa maji wa Taifa (Nation Water Fund )na kwamba awamu ya kwanza inahusisha ujenzi wa miundombinu ya maji itakayo hudumia wakazi wa vijiji 5 vya kata ya Mbuluma

‘’ujenzi wa miundombinu ya bwawa unafanywa na kampuni ya ujenzi ya Chelesi General Entreprises Limited kwa gharama za mkataba wa Tsh 1,770,686,098.83 ambapo ujenzi wake unatarajia kukamilika June 30/2022’’ alisema Mwela,

Mapema akiongea wakati wa ziara hiyo kaimu meneja wa Ruwasa wilayani humo Francis Mpunda , alisema mpaka sasa fedha shillingi milion 192,062,452.20 zimetumika  na kusema mradi huo utaenda kuwawezesha wakazi  wa vijiji hivyo kuondokana na adha ya maji ambayo ilikuwa ikiwakabili kwa muda mrefu

Matangazo

  • Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Kidato cha Kwanza 2021-Tanzania Bara December 18, 2020
  • Wanafunzi waliochaguliwa Kujiunga Kidato cha Kwanza 2021-Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo December 18, 2020
  • TANGAZO LA KAZI May 25, 2022
  • Tangazo la Zabuni ya Wakala wa Usafi September 12, 2022
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • Das Kalambo Akabidhi Pikipiki 7 Kwa Watendaji Wa Kata

    February 21, 2023
  • Das Kalambo Akabidhi Pikipiki 7 Kwa Watendaji Wa Kata

    February 21, 2023
  • DC Kalambo Asisitiza Wakandarasi Kutopewa Muda Wa Nyongeza Kukamilisha Miradi Ya Maji

    February 16, 2023
  • Dc Kalambo Asisitiza Viongozi Wa Serikali Kusimamia Kampeni Ya Upandaji Miti

    February 08, 2023
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.