• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

SERIKALI YATOA FEDHA KIAS CHA ZAIDI YA SHILINGI MILION 800 KWA AJILI YA UJENNZI WA LAMI KALAMBO

Posted on: June 27th, 2019

Serikali kupitia wakala  wa barabara za vijijini  na mijini TARULA mkoani  Rukwa imeanza  utekelezaji wa  ujeziwa mradi wa barabara ya lami yenye umbali wa km2 na kugharimu  kiasi cha zaidi ya shilingi  milioni  mia nane katika  mji mdogo halmashauri ya wilaya ya kalambo Matai na huku mkataba wake ikiwa ni miezi mitatu.

Mji wa  matai  ni  miongoni mwa miji midogo inayokuwa kwa kasi kubwa  mkoani  Rukwa, licha ya hilo, mji huo  umekuwa  ukikabiliwa  na  changamoto kubwa ya ukosefu wa barabara ya lami licha ya kuwa katikati ya makao makuu ya wilaya hiyo.

kwa kulina  hilo  serikali  ilitoa fedha kiasi cha zaidi  ya  shilingi  million   mianane  kwa  ajili  ya  ujenzi wa barabara ya lami kwenye  maeneo  hayo.

Bensoni  Ndunguru  kaimu  meneja  wa  Tarula  wilayani humo amesema   kiasi  cha  zaidi ya shilingi  milioni  mianane  kitolewa  na  serikali kwa ajili ya  ujenzi wa  barabara   hiyo   yenye urefu  wa  kilometa 2 na mkataba  wake  ikiwa ni miezi  mitatu.

Mkuu  wa  wilaya  hiyoJulieth Binyura  amemtaka mkandasi  kurakisha ujezi wa barabara hiyo na kumsihi  kuweka  sehemu  za kupita magari wakati ujezi ukiendelea.

Akikagua ujezi  wa barabara  hiyo naibu waziri wa Nchi ofis Ya Rais Tamisem Josephat  Kandege ametaka  mkandarasi kushirikina  na madiwani  wakati  wa  ujezi wa  barabara  hiyo.

Hata  hivyo  Naibu  waziri Kandege ametembelea na kukagua miradi mbalimbaliinayoendelea kutekelezwa wilayani  humo ikiwemo  hosptali  ya  wilaya pamoja na ujezi  wa shule mpya  ya wasichana ilipo katika  kata ya lywa.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.