• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Tbs Yataka wajasiliamali, Wilayani Kalambo Kuzingatia Ubora Wa Bidhaa

Posted on: August 20th, 2023

Shirika la viwango Tanzania TBS limesema halitasita kuwachukulia hatua kali za kisheria ikiwemo kuwapiga faini ya shilling million 20 wajasiliamali na wasindikaji watakao bainika kufoji nembo ya TBS pamoja na kuingiza sokoni bidhaa zisizokuwa na ubora.

Hayo yamebainishwa na kaimu meneja wa shirika la viwango Tanzania Tbs kanda ya Magharibi Rodney Alananga wakati akitoa elimu kwa wajasiliamali, wasindikaji na wamiliki wa viwanda na kufanyika katika ofisi za kata ya Matai wilayani Kalambo mkoani Rukwa,Ambapo aliwataka waandaji wa bidhaa kuzingatia weledi na viwango na ubora wakati wa uandaaji wa bidhaa kabla ya kuingizwa sokoni.

‘’Tbs inazo skimu mbalimbali za udhibiti ubora ikiwemo skimu ya alama ya ubora,mzalishaji ambaye bidhaa yake imethibitishwa ubora kwa kuzingatia kiwango cha kitaifa cha bidhaa husika hupewa leseni ya kutumia alama ya TBS katika bidhaa hiyo hivyo kwa mwaka 2024 mzalishaji yeyote ambaye atashindwa kuwa na alama hiyo kwenye bidhaa yake atazuiliwa bidhaa yake kuingizwa kwenye maonesho makubwa ikiwemo nane nane na saba saba. Alisema Rodney – Alananga.

Alisema alama ya TBS huwafanya wanunuzi kununua bidhaa bila wasiwasi wowote na kwa upande mwingine alama hiyo humlinda mzalishaji katika ushindani dhidi ya bidhaa hafifu na humwezesha kulihakikishia soko lake juu ya ubora.

Afisa afya wa Halmashauri ya Kalambo Queen Nyahenga, alisema miongoni mwa mikakati waliojiwekea kama halmashauri ni pamoja na kufanya kaguzi za mara kwa mara kwenye viwanda ili bidhaa ziweza kuzalishwa kwa viwango na kwa ubora na kuleta tija kwa watumiaji.

Kwa pande wake mmoja wa wamiliki wa viwanda akiwemo Kasimu malingu aliipongeza serikali kwa kutoa elimu ya uzalishaji wa bidhaa kwa ubora na kwamba wana uhakika wataweza kuzalisha bidhaa ambazo zitaleta ushindani kwenye masoko ya nje.

Hata hivyo Shirika la viwango Tanzania TBS lilianzishwa kwa sheria ya Bunge –sheria ya viwango No 3 ya mwaka 1975 iliyofanyiwa marekebisho na sheria Na 1 ya mwaka 1977 ambapo sheria hiyo ilifutwa

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.