• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Wachungaji Walalamikiwa Kufungisha Ndoa Waumini Bila Kuwapima Ukimwi.

Posted on: September 6th, 2019

Wadau kutoka asasi zisizo kuwa za kiserikali zinazohusika na maswala ya ukatili wa kijinsia mkoani Rukwa wamelalamikia kitendo cha baadhi ya wachungaji na watumishi wengine wa mungu kuto pima afya za waumini wao pindi wanapofunga ndoa na hivyo kupelekea kujitokeza migongano ya kifamilia kutokana na baadhi yao kukutwa na mambukizi ya virusi vya ukimwi.

Kumekwepo na mamalamiko kutoka kwa wananchi mkoani Rukwa juu ya kujitokeza kwa migogoro ya kifamilia ambayo imekuwa ikisababishwa na baadhi ya wachungaji na watumishi wengine wa mungu kudaiwa kuto wapima wanandoa hao kabla ya kufungishwa ndoa .

Hali hiyo imepelekea wadau wanaohusika na maswala ya ukatili wa kijinsia na mila potofu kutoka Asasi ya Sumbawanga Community Development Achievement (SUCODA) kuingilia kati swala hilo kwa kutoa elimu  kwa wachungaji,mashehe, watumishi wa serikali pamoja na watu wengine, lengo likiwa ni kutoa elimu juu ya umuhimu wa watu kupima kabla kufunga ndoa.

‘’tumeona ni vyema tukakaa na wachungaji ili kuwapatia mafunzo zaidi juu ya maswala ya ukatili  wa kijinsia kwani kitendo cha mchungaji kufungisha ndoa bila kujua afya za wahusika, ni kitendo kibaya kwani kina sababisha kuongezeka kwa magonjwa ya ukimwi.’’alisema Mwazyunga.

Afisa maendeleo ya jamii wilayani humo Yasinta Nkyabonaki,amesema hali hiyo imekuwa ikisabisha kuongezeka kwa mambukizi ya virusi vya ukimwi pamoja na migogoro ya kifamilia.

Alphonsa Shirima afisa ustawi wa jamii wilayani humo,amesema wazazi wanawajibu wa kuwalea watoto  wao katika mazingira bora ikiwemo kuwapatia mahitaji yote muhimu.

 Kwa upande wake mwanasheria kutoka Asas isiyokuwa ya kiserikali ya SUCODA Jonas Chidowi, amesema ni kosa kisheria kwa wachungaji kuto pima afya za watu wanao funga ndoa.

‘’niwasihi wachungaji kujenga mazoea ya kupima afya za waumini wao hususani wale ambao wanaokuwa  kwenye harakati za kuoa ama kuolewa kwa lengo la kupunguza kasi ya mambukizi ya ukimwi.alisema Chidowi.

Kwa upande wake mchungaji kutoka kanisa la Moravian katika wilaya ya Kalambo Tedysoni Nzalamwe, amesema changamoto  kubwa  imekuwa  ikijitokeza  kutokana na taarifa feki  kutoka kwa wanandoa  wenyewe ambazo zimekuwa  zikisababisha wao kuingia  kwenye migogoro.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA KALAMBO YAFIKIA ASILIMIA 120 UKUSANYAJI WA MAPATO.

    June 27, 2025
  • HALMASHAURI YA KALAMBO YAFIKIA ASILIMIA 120 UKUSANYAJI WA MAPATO.

    June 27, 2025
  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.