• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Watumishi Wahamasishwa Kufanya Mazoezi Ya Viungo. “Kalambo’’

Posted on: June 8th, 2020


Mkuu wa wilaya ya Kalambo Julieth Binyura amewasihi watumishi wilayani humo kuona umuhimu wa kuendelea kufanya mazoezi kama ilivyokuwa awali ili kuwawezesha kuimarisha miili yao ili isipatwe na magonjwa

Katika moja ya mitandao ya kijamii inayo jumuisha watu wote wanaofanya mazoezi wilayani humo, mkuu wa wilaya hiyo aliwasisitiza watumishi kuendelea na mazoezi kwa lengo la kuimarisha afya.

Aidha aliwasisitiza kumtegemea Mungu pamoja na kuchukua tahadhari wakati wa kufanya mazoezi hayo ambayo ni muhimu katika kuimarisha afya.

“wanamichezo Kalambo mcheze ili muimarishe afya. Mungu atawalinda hakuna atakayepata madhara. Tuendelee kuchukua tahadhari pia”. Alisisitiza Binyura.

 Hivi karibuni kupitia mtandao huo mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri hiyo Msongela Palela aliwasisitiza watumishi kuendelea kufanya mazoezi kutokana na kuwa na umuhimu mkubwa

“Kama tumerudisha minada na sasa tunatafakari kurejesha ligi za Mpira hakuna sababu ya kuendelea kuzuia mazoezi. Mh Rais ameelekeza mazoezi yaendelee. Kwa muktadha huo naruhusu mazoezi yaendelee chamsingi tuzingatie maelekezo mbalimbali yanayotolewa”. Alisisitiza Msongela.

Hata hivyo Kulingana na ripoti ya shirika la afya duniani WHO, iliyochapishwa na The Citizen, takribani watu billioni 1.9 wanaugua ugonjwa wa sukari ama uzito wao kuongezeka maradufu. Shirika hilo pia lilipendekeza kufanya mazoezi kila mara kama njia bora ya kuimarisha afya.

Licha ya kwamba lishe ni muhimu katika kuongeza uzito, kwa watu wazima mazoezi pia ni muhimu. Ikumbukwe kwamba, kuongeza uzito kiafya kunahusisha kuongeza kiasi cha misuli zaidi ya kiasi cha mafuta. Kama utaongeza kiasi kikubwa cha mafuta utakuwa umetoka katika tatizo moja na kwenda kwenye tatizo lingine.

Mazoezi yanasaidia kuhakikisha unapoongeza uzito/mwili hautawaliwi na kuongezeka kwa mafuta mengi mwilini, kitu ambacho si kizuri kiafya.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.