• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Wanafunzi 932 Waliochaguliwa Kujiunga Na Masomo Ya Elimu Kidato Cha Kwanza Washindwa Kuripoti shule.

Posted on: February 5th, 2020

Mkuu wa mkoa  wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo ametoa siku 2 kwa wazazi kuhakikisha wanafunzi 932 waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza wanaripoti mara moja shuleni na kuanza masomo bila visingizio vyovyote na kuwaagiza watendaji wa kata na vijiji kuwakamata na kuwashitaki wazazi watakaoshindwa kuwapeleka watoto wao shule baada ya muda huo kupita katika Wilaya ya Kalambo.

Wangabo ametoa maagizo hayo katika kikao kazi kilicho jumuisha watendaji wa vijiji, kata na maafisa tarafa pamoja na wakuu wa idara wilayani Kalambo ambapo alisema wanafunzi 932 sawa na asilimia 31.7 waliotakiwa kuanza kidato cha kwanza hawajaripoti  shuleni mpaka hivi sasa.

‘’Mimi natoa siku mbili  kwa wazazi wote ambao wana watoto hawajaenda shule mpaka sasa hivi iwe ni wa darasa la kwanza, wawe ni “form one” (kidato cha kwanza) baada ya siku hizi tano wakamatwe wafikishwe mahakamani hatutaki mchezo kwenye elimu, huyu mtoto ukimchezea chezea hivi huyu huyu ndio atatusumbua, kwasababu akitoroka shule anakimbia yamesmshinda ndio huyo anakwenda mitaani, unadhani watoto wa mitaani wanatoka wapi si wameshindwa shule huku, si wazazi wameshindwa kuwalea, wakamatwe wazazi wanaoshindwa kuwalea watoto wao wafikishwe mahakamani, watendaji wa vijiji watendaji wa kata kamateni wazazi hao” Alisisitiza.

Mh. Wangabo alisema kuwa mkoa kufanya vibaya kwenye elimu kunachangiwa na kuchelewa kupeleka watoto shule na kuongeza kuwa endapo tathmini inafanyika kwa wale wanaofanya vibaya kwenye mitihani yao utagundua ni wale wanaochelewa kufika shule na kutahadharisha kuwa wanafunzi wa kidato cha kwanza wapo katika kipindi cha mabadiliko kutoka kwenye ufundishwaji wa Kiswahili kwenda kwenye ufundishwaji wa kiingereza hivyo ni muhimu kwao kuwahi shuleni.

 Awali afisa elimu sekondari wa wilaya ya Kalambo, Efraim Moses akisoma taarifa ya maendeleo ya elimu wilayani kwake alisema wanafunzi ambao hawajaripoti mpaka sasa ni  932, kati yao wavulana ni 430 na wasichana ni 502, baadhi ya washiriki wa kikao hicho wameeleza maoni yao.

‘’wilaya  ina jumla ya shule za sekondari 19 zenye jumla ya wanafunzi 9,232 kati yao wavulana ni 5,084 na wasichana ni 4,148 .shule 15 zinamilikiwa na serikali na shule 4 zinamilikiwa na mtu  binafsi’’alisema Mosesi.

Hata  hivyo shule  za serikali  zina jumla  ya  wanafunzi 8,838 miongoni mwao hizo   wavulana ni 4,886 na wasichana 3,952 .wanafunzi 8,115 ni  kidato  cha  cha tano  hadi cha sita {V-VI}.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.