• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Wananchi Wilayani Kalambo Wahimizwa Kuchanja Mbwa Na Paka Ili Kuepuka Kichaa Cha Mifugo Hiyo..

Posted on: September 28th, 2022


Wananchi wilayani Kalambo mkoani Rukwa wameungana na watu wengine duniani katika kuadhimisha kumbukumbu ya kichaa cha mbwa huku Halmashauri kwa kipindi cha wiki moja ikifanikiwa kutoa chanjo kwa mbwa 300.

Halmashauri ya wilaya ya Kalambo ina jumla ya mbwa 6,714 na paka 1,178 ambapo katika kipindi cha mwaka 2020/2021 mbwa wapatao 215 walichanjwa na kwa mwaka 2021 /2021 mbwa 525 na paka 2 walipata chanjo huku kwa mwaka 2022 / 2023 mbwa wapatao 724 na paka 13 wamepatiwa chanjo.

Hata hivyo maadhimisho ya kumbukumbu ya kichaa cha mbwa hufanyika september 28 ya kila mwaka ambapo kwa mwaka 2022 maadhimisho hayo yamefanyika kikanda katika eneo la kateka kata ya Matai wilayani humo yakiwa na lengo la kuhamasisha jamii kuchanja mbwa na paka.

Mapema akiongea wakati maadhimisho hayo mganga mkuu wa mifugo wilayani Kalambo Enossy Luvinga amesema kichaa cha mbwa ni ugonjwa unaosababishwa na virusi vya kichaa cha mbwa na huathiri wanyama wote ikiwemo mbwa na binadamu

Alisema ugonjwa huo hauna tiba na kwamba unaweza kukingwa kupitia chanjo ikiwa ni pamoja na kuzingatia ufugaji bora wa mbwa na paka.

Awali akiongea kupitia maadhimisho hayo mkuu wa wilaya hiyo Tano Mwela akawataka wananchi kuhakikisha mifugo yao inapata chanjo.

‘’Serikali imetengeneza kanuni za chanjo na uchanjaji ya mwaka 2020 ambazo zinalazimisha kila mfugaji kuchanja mbwa na mifugo mingine dhidi ya magonjwa mbalimbali hivyo basi wafugaji wote kwa umoja wenu mnasisitizwa pindi mtakaposikia uwepo wa shughuli za uchanjaji wa mifugo mnapaswa kushiriki kikamilifu’’ Alisema Mwela.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.