• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Wanawake Katika Mikoa Ya Rukwa Na Katavi Wataka Sheria Za Kimila Kufutwa

Posted on: December 19th, 2019


JUKWAA la wanawake katika mikoa ya Rukwa na Katavi wameiomba serikali kutunga sheria mama ambayo itawawezesha kuwa na maamuzi katika jamii husani kushirikiana katika suala zima la mgawanyo na umiliki wa mali.

Ombi hilo waliliomba kupitia kikao kilicho keti hivi karibuni katika Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa, na kuiomba serikali kufuta baadhi ya sheria za kimila ambazo zimekuwa kandamizi kwao na kuwanyanyasa katika jamii.

Walisema migogoro ya ardhi bado ni mingi na inasababisha wanawake wengi kupata matatizo hata pale ambapo makosa sio yao.

‘'kuna baadhi ya migogoro imekuwa ikisababishwa na mipaka,ufugaji wa kuhama hama, wawekezaji wakubwa na mfumo wa upimaji ardhi ,kwa hiyo tunaiomba serikali kuharakisha usuruhishi wa migogoro hiyo kwa wakati hususani maeneo ya vijijini'' Walisema.

Walisema ni vyema serikali ikajenga utaratibu wa kufanya kazi kwa kuweka ukaribu na mashirika yasio ya kiserikali na vikundi vya wanawake yanayojihusisha na haki za ardhi.

Kwa upande wake mwezeshaji wa mafunzo hayo Elias Mtinda alisema wanawake waliowengi katika maeneo ya vijijini wanajishughulisha na kilimo na familia zao zimekuwa zikitegemea kupata mahitaji mengi kutoka mazingira yanayo wazunguka.

Alisema ukosefu wa huduma za ugani ,pembejeo za kilimo au mabadiliko ya tabia ya nchi ,imekuwa sababu kubwa ya wanawake kupata shida kwa kuwa wao ndiyo wanao wajibuka kwa asilimia mia katika katika jamii zao.

Alisema ili kumaliza tatizo hilo ni vyema serikali ikahakikisha utekelezaji wa bajeti ya kilimo inaongezwa pamoja na kuhakikisha asilimia ishirini ya makusanyo ya ndani ya halmashauri inarejeshwa kwa wakati sambamba na kuongeza maafisa ugani katika maeneo ya vijijijini.

Mkuu wa wilaya ya Kalambo ambaye alikuwa mgeni rasmi katika madhimisho hayo amewataka wanawake kujenga mazoea ya kujiunga na vikundi vya ujasiliamali ili kuwarahishisia kukopesheka.

Alisema malengo ya serikali ni kuhakikisha kila mwananchi anapata haki sawa na kuwasihi viongizi kupitia idara ya maendeleo ya jamii kuhakikisha wanaatoa fedha asilimia kumi za wanawake na vijana ili kuyawezesha makundi hayo kunufaika zaidi.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.