• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Wasimamizi Wa Vituo Vya Uchaguzi Waonywa Vikali

Posted on: November 23rd, 2019

UONGOZI wa Halmashauri ya wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa umewaonya watendaji pamoja na wasimamizi wa uchaguzi utakao fanyika kesho kutojihusisha na vitendo vya udanganyifu vinginevyo watachukuliwa hatua kali za kisheria.

Onyo hilo limetolewa jana na msimamizi msaidizi wa uchaguzi wa wilayani hiyo Mbawala Kanoti katika kikao kazi kilicho fanyika katika ukumbi wa Halmashauri hiyo.

Alisema kuwa mara kwa mara wasimamizi wa uchaguzi katika vituo vya kupigia kura ndiyo wamekuwa wakisababisha wananchi kutokuwa na imani na matokeo kutokana na baadhi yao kukiuka madili yao ya kazi kwa kuchukua hongo kutoka kwa wagombea.

Alisema kuwa kufanya kazi kinyume taratibu kumekuwa kukisababisha malalamiko hivyo kuwataka kujiepusha na vitendo hivyo ili kufanya uchaguzi huo kuwa wa amani.

"uzoefu unaonyesha sisi watendaji wa serikali ndio tumekuwa vinara kwani tumekuwatu kisababisha kuibuka malalamiko kutoka kwa wa pigakura ,pia lazima mkumbuke kuwa vyombo vya sheria havita wavumilia endapo mtakwenda kinyume na utaratibu'’alisema

Alisema kuwa katika uchaguzi huo vitongoji 78,vijiji 33 na kata 14, ndio vitashiriki katika uchaguzi huo.

Msimamizi huyo wa wilaya alisema kuwa katika wilaya hiyo jumla ya vijiji 78, vitongoji  na kata 344 hakutakuwa na uchaguzi kutokana na wagombea wa baadhi ya vyama pinziani kujitoa na wengine kuondolewa kutokana na kuwekewa pingamizi hali inayotoa fursa kwa wagombea wa Chama cha Mapinduzi kupita bila kupingwa.

Alisema kuwa uchaguzi utaanza majira ya saa 2:00 za asubuhi na kuhitimishwa saa 10:00 za jioni na aliwataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura kwa lengo la kuchagua viongozi bora na ambao watakuwa masaada katika maeneo yao na taifa kwa ujumla.

Kwaupande wao watendaji pamoja na wasimamizi hao walisema kuwa wamejipanga vizuri ili kuhakikisha uchaguzi unafanyika kwa amani na utulivu na wanaimani kuwa hakutakuwa na malalamiko kwakua taratibu zote zitafuatwa.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA KALAMBO YAFIKIA ASILIMIA 120 UKUSANYAJI WA MAPATO.

    June 27, 2025
  • HALMASHAURI YA KALAMBO YAFIKIA ASILIMIA 120 UKUSANYAJI WA MAPATO.

    June 27, 2025
  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.