• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Watanzania Wafika Kilele Cha Siku Tatu Za Maombi Ya Shukrani Kwa Mungu

Posted on: May 25th, 2020

Nchini Tanzania waumini wa madhehebu mbalimbali wamekamilisha siku tatu za maombi maalumu ya kumshukuru Mungu baada ya 'kupungua' kwa maambukizi ya covid19.

Hatua hii ni baada ya kauli ya rais wa Tanzania John Magufuli ya kuwataka raia wa nchi hiyo kwa imani zao tofauti kwa muda wa siku tatu, kuanzia Ijumaa mpaka Jumapili kumshukuru Mungu kwa kuliepusha taifa na janga la Corona.

Kilele cha maombi hayo pia kimeangukia siku ya Eidul Fitri ambapo waumini wa dini ya kiislamu kutoka maeneo mbalimbali nchini humo wamejitokeza kwa ajili ya swala ya Eid.

Eidul Fitr inafuatia kukamilika kwa mwezi mtukufu wa Ramadhan ambapo waislamu hufunga kwa muda wa mwezi mmoja.

Katika msikiti mkuu wa Gaddafi uliopo jijini Dodoma ujumbe mkuu uliotawala kwa mamia ya waumini, wake kwa waume waliojitokeza ni ule wa kuchukua tahadhari ya corona.

Waziri Mkuu wa Tanzania Kaasim Majaaliwa alikuwa ni mmoja wa waumini walioswali Eid katika msikiti huo wa Gaddafi, ambao ni miongoni mwa misikiti mikubwa na maarufu zaidi nchini.

Akizungumza na waumini jijini humo baada ya swala, Waziri Mkuu alitoa takwimu mpya za waliopona lakini aliendelea kusisitiza kuhusu kuchukua tahadhari.

"Tunaendelee kuwa na tahadhari ili kupunguza uwezekano wa maambukizi, suala la kunawa mikono ni muhimu sana, na unapokuwa katika msongamo vaa barakoa," amesema waziri mkuu.

Tofauti na eid nyingine ambazo waumini wa dini ya kiislamu huonesha upendo wao kwa kupeana mikono, kukumbatiana na hata kutembeleana majumbani.

Mwaka huu, kutokana na janga la corona hali imekuwa tofauti.

"Msikitini baada ya swala kupeana mikono, lakini mwaka huu hakuna. Hata kama ni vitu vya kuongeza upendo lakini tumeshindwa kuvifanya," anasema Maulid Seif mkazi wa Dodoma.

Sherehe za Eid mwaka huu imeenda sambamba na kilele cha siku tatu za maombi maalumu ya kumshukuru Mungu kama alivyoshauri Rais wa Tanzania John Magufuli baada ya kusema maambukizi yamepungua.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.