• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Watendaji 93 Kukamatwa Kwa Kula Fedha Za Serikali.

Posted on: February 12th, 2021

Mkuu wa wilaya ya Kalambo Kalorius, Misungi amewataka watendaji kurejesha fedha za makusanyo ya mapato ya ndani ya Halmashauri hiyo kiasi cha shilingi million 162 na kusisitiza kuwakamata watendaji wote ambao watashindwa kurejesha fedha hizo  ifikapo February 28 mwaka huu.

Agizo hilo alilitoa Jana kwenye Baraza la madiwani la halmashauri hiyo lililoketi jana kwaajili ya kupitisha mpango na bajeti ya matumizi ya mwaka wa fedha wa 2021/2022.

Alisema kuwa tangu Halmashauri hiyo ilipo anza utaratibu wa kukusanya mapato kwa mashine za kielektroniki na kuyapeleka Benki watendaji hao wamekuwa na tabia ya kutowasilisha fedha hizo Benki, na badala yake wamekuwa wakizitumia kwa matumizi yao binafsi

 

Mkuu huyo wa wilaya alisema kuwa katika Halmashauri hiyo jumla ya watendaji 93 wamezitumia fedha kiasi cha shilingi 162,742,350 hivyo kuwataka wazirudishe kabla ya Februari 28 vinginevyo ataliagiza Jeshi la polisi kumkamata kila mtendaji anayedaiwa.

"Naagiza kuanzia leo hadi Februari 28, kila mmoja arudishe kiasi cha fedha anazodaiwa, ikipita tarehe hiyo nitampa orodha OCD inayo onesha kila mtendaji kiasi anacho daiwa na Kijiji alichopo na nitamuagiza amkamate ili hatua za kisheria zichukuliwe dhidi yake" alisema, Misungwi.

Mwenyekiti wa Baraza la madiwani la Halmashauri ya wilaya ya Kalambo, Daud Sichone, alisema kuwa Baraza hilo linaunga mkono agizo la mkuu wa wilaya kwani halipo tayari kuona watendaji wa serikali wanaongoza kuhujumu kodi za wananchi.

Alisema kuwa tangu mwaka 2017 kumekuwepo tabia ya watendaji kutumia fedha za makusanyo tofauti na maelekezo ya serikali hivyo ni lazima wazirudishe fedha hizo vinginevyo wengine hawatakuwa salama na watakwenda na maji kutokana na fedha hizo.

 Licha ya hilo Halmashauri ya Kalambo kwa mwaka wa fedha 2021 /2022 inakadiria kukusanya, kupokea na kutumia jumla ya shilingi 34,416,806,430.00.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.