• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

WATENDAJI WILAYANI KALAMBO WA WAWEKWA KITIMOTO KWA KULA RUSHWA

Posted on: July 11th, 2019


KATIBU tawala wilayani kalambo mkoani Rukwa Frank Schalwe amepiga malfuku viongozi wa serikali za vijiji na kata kuwatoza fedha kiasi cha shilingi elfu kumi {10000/=}wananchi pindi wanapopeleka malalamiko yao ofisini na kuisistiza kuchukua hatua kali za kisheria dhidi ya watakao bainika kuendelea kufanya hivyo kutokana na fedha hizo kutozwa kinyume na utaratibu.

Kumekwepo na malalamiko  ya  muda  mrefu kutoka  kwa wananchi juu  ya  viongozi  wa  serikali  za vijiji  kuwatoza wananchi fedha kiasi cha shilingi elfu kumi pindi wanapokuwa  wakipeleka  malalamiko  yao kwenye  ofis za vijiji na  kata na hivyo kupelekea serikali  wilayani  humo  kuitisha  kikao cha pamoja  kilicho jumuisha  watendaji wa  serikali za vijiji  na kata, walimu wakuu, mafiasa tarafa  pamoja  na waratibu.

Awali akiongea na viongozi hao kupitia kikao  kilichofanyika  katika  tarafa  ya  mwimbi ,   katibu tawala  wilayani  humo Frenk Schalwe amesema  utozwaji  wa fedha hiyo upo kinyume  na utarabu.

‘’tumepata malalamiko kutoka  kwa wananchi juu ya watendaji kuhusika kwa namana mopja  au nyingine  kuwatoza fedha wananchi kuanzia  elfu  tano haadi  elfu kumi  kitu ambacho  ni kosa  kutokana  na fedha  hizo  kuwa  nje  ya  utaratibu ‘’alisema sichalwe.

Aidha amewasistiza viongozi hao kujenga mzoea ya kuwambia  wananchi kupitia  mikutano  ya hadhara  juu ya mafanikio ya serikali ya wamu ya tano ndani ya maeneo yao husiaka.

’’mesema kimsingi  serikali  imefanya  mambo  mengi  hivyo  kila  kiongozi  aliepo  haapoa  anapaswa juwa  barozi   kwa  kuwambia  wananchi yale  mazuri ambayo  serikali  awamu yatano imekuwa  ikifanya mfano  imejenga vituo  vine vya afya pamoja  na hospitali  ya wilaya hayo  ni baadhi ya mambo mazuri  ambayo  serikali  awamu ya tano  inayatekeleza’’alisema schalwe.

Waratibu  wilayani humo wameiomba serikali wilayani  humo kuingilia kati swala  la  uendelezwaji  wa  makambi  mashuleni  kutokana na  kukwamishwa na baadhi  ya madiwani.

 

 

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.