• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Kalambo District Council
Kalambo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Mazingira
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
      • Kituo Cha Afya Matai
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Upimaji wa Viwanja na Mipango Miji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Ujenzi Uchumi na mazingira
      • UKIMWI
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Mradi unaoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Bajeti ya Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • Salary Slip

Wazazi na walezi wilayani Kalambo waomba idadi ya walimu kuongezwa

Posted on: February 2nd, 2024

Wazazi na walezi wilayani kalambo mkoani Rukwa wameiomba serikali kuona uwezekano wa kuongeza idadi ya walimu  wa madarasa ya awali ili kuendana na ongezeko la wanafunzi.

Hatua hiyo inakuja baada ya uwepo wa mwamko mkubwa wa wanafunzi wanao ripoti shule kwa mwaka 2024, ambapo hadi kufikia januari 26/2024 wanafunzi 12,017 kati yao wavulana wakiwa 5,766 na wasichana 6,25 sawa na asilimia 61 wameripoti shule idadi ambayo ni kubwa ukilinganisha na miaka iliyopita.

Mmoja wa wakazi wa kijiji cha Namlangwa Beni Mwanalinze,ambaye licha ya kuipongeza serikali kwa kukamilisha vyumba 39 vya madarasa ,alisema kuna haja ya walimu wa shule za msingi ikiwemo wa madarasa ya awali kuongezwa ili kuendana na ongezeko la wanafunzi wanao ripoti.

Aliko mkubwa mkazi wa kijiji cha Kalepula, alisema uwepo wa miundombinu rafiki ya shule imekuwa chanzo cha wanafunzi wa madarasa ya kwanza kuongezeka siku hadi siku na kusema serikali haina budi kuboresha vitendea kazi vya kujifunzia na kufundishia ili kuwawezesha wanafunzi kupata elimu bora kwa vitendo.

Awali akiongea wakati wa ukaguzi wa wanafunzi wanaoripoti kwenye shule mbalimbali wilayani humo, Kaimu afisa elimu msingi wilayani humo Kanuti Mbawala ,alisema hadi kufikia tarehe 18/1/2024 halmashauri ilikuwa na maoteo ya kuandikisha wanafunzi wa darasa la kwanza 10,901 kati yao wavulana wakiwa 5,382 na wasichana 5,519 na kwamba hadi kufikia tarehe 18/1/2-26 halmashauri ilifanikiwa kuandikisha wanafunzi 9,492 kati yao wavulana wakiwa  4,771 na wasichana 4,721.

‘’Pia halmashauri tumefanikiwa kuandikisha wanafunzi wenye mahitaji maalumu 4 kati yao wavulana wakiwa ni 1 na wasichana wakiwa 3, ambapo hadi kufikia sasa halmashauri imefanikiwa kufikia asilimia 87 ya uandikishaji.’’alisema Kanuti.

Hivi karibuni akiongea kupitia mkutano wa waandishi wa habari, mkuu wa mkoa wa Rukwa Makongoro Nyerere, alisema serikali imekuwa na utaratibu wa kutoa ajira  za  kila mwaka  na kwamba kwa mwaka 2024 serikali inatarajia kutoa ajira mpya ambazo zitawezesha kupunguza ikama ya wanafunzi.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI October 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 10, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2023 July 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • KAMATI YA USHAURI YA MKOA WA RUKWA YARIDHIA MAPENDEKEZO YA KULIGAWA JIMBO LA KWELA.

    March 15, 2025
  • RC RUKWA AWAONYA VIONGOZI WANAOKWAMISHA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI SAMAZI

    March 14, 2025
  • WANAWAKE KALAMBO WAFANYA UTALI WA NDANI

    March 10, 2025
  • TALGWU YATOA MSAADA WA KIBINADAMU KWA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA

    March 10, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MHE. RAIS SAMIA S. HASSAN AMUAPISHA MAKAMO WA RAIS MTEULE DKT. PHILIP ISDOR MPANGO IKULU CHAMWINO
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Huduma za Afya
  • Ardhi na mipango Miji
  • Kujua Kodi ya Ardhi
  • Kalambodc blog
  • TEHAMA
  • Kalmbodc Twitter
  • Kalambodc Facebook
  • Kalmbodc Instagram
  • TAMISEMI

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Wakala wa Manunuzi Serikalini
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Mkoa wa Rukwa
  • Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga
  • Manispaa ya Sumbawanga

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Matai, Kalambo, Rukwa

    Anuani ya posta: P.o box 03

    Simu ya Mezani: 025-2955212

    Simu ya mkononi: +255 622 858 482

    Email: ded@kalambodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Kalambo DC . All rights reserved.