Posted on: January 2nd, 2025
Mawakala wa vyama vya siasa Nchini wametakiwa kutoingilia mchakato wa uboreshaji daftari la kudumu la wapiga kura vituoni na badala yake wazingatie Sheria za uchaguzi na kanuni za uboreshaji maelekezo...
Posted on: December 20th, 2024
Chama cha wafanyakazi wa serikali za mitaa nchini kimeanzisha mfuko maalumu wa kuwainua kiuchumi wanawake watumishi wa serikali za mitaa ili kuwaepusha na mikopo kausha damu.
Katibu mkuu wa chama c...
Posted on: December 17th, 2024
Naibu waziri wa wizara ya uchukuzi Mhe.David Kihenzile amesema serikali imeidhinisha fedha kiasi cha shilingi Billion 600 kwa ajili ya ujenzi wa meli yenye ukubwa wa tani 3500 itakayo kuwa ikifanya sa...