Posted on: March 13th, 2020
Rais wa Tanzania, John Magufuli ametoa tahadhari kuhusu ugonjwa unaotokana na virusi vya corona, akiwataka kutopuuza kwani mpaka sasa umegharimu maisha ya watu wengi duniani.
Amezungumza na Umma wa...
Posted on: March 13th, 2020
NAIBU waziri wa maliasili na Utalii Costantine Kanyasu ameviagiza vyombo vya Dola kuendelea kulinda sehemu za mazalia ya samaki kwenye maziwa yote ya mkoa wa Rukwa ili kuruhusu samaki kuzalina kwa win...
Posted on: March 11th, 2020
Wavuvi Wilayani Kalambo mkoani Rukwa wametakiwa kutumia fursa ya kufunguliwa kwa soko kuu la samaki la Kasanga Wilayani humokwaajili kuongeza vipato vyao na serikali kwa kuuza samaki na kuach...