Posted on: February 7th, 2020
Wananchi mkoani Rukwa wameiomba serikali kuweka utaratibu maalumu ambao utawawezesha kutoa ushahidi mahakamani kwa kujirekodi na kutuma video pamoja na vinasa sauti mahakani badala ya kuapa k...
Posted on: February 6th, 2020
HALMASHAURI ya Kalambo mkoani Rukwa imesema imetenga fedha kiasi cha shilingi milioni 140 katika bajeti ya 2020/ 2021 kwaajili ya umaliziaji wa maboma ya majengo yote ya zahanati
Akiongea ...
Posted on: February 5th, 2020
Mkuu wa mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo ametoa siku 2 kwa wazazi kuhakikisha wanafunzi 932 waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza wanaripoti mara moja shuleni na kuanza masomo bila visin...