Posted on: May 4th, 2020
Naibu waziri ofisi ya Rais tawala za mikoa na serikali za mitaa (TAMISEMI) Josephati kandege ametoa misaada ya vitu mbalimbali kwa waathirika wa mafuliko yaliosababisha zaidi ya nyumba 138 ku...
Posted on: May 1st, 2020
ZAIDI ya nyumba138 zimebomoka na watu139 kukosa makazi katika kijiji cha Kipwa kilichopo katika kata ya Kasanga wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa baada ya maji ya ziwa Tanganyika kuzingira makaz...
Posted on: May 1st, 2020
Waziri wa Katiba wa Tanzania Augustine Mahiga amefariki dunia alfajiri ya leo mjini Dodoma.
Taarifa iliyotiwa saini na Rais John Magufuli inasema kuwa Mahiga aliugua ghafla akiwa nyumbani kwake mji...