Posted on: November 12th, 2020
Mfahamu Waziri Mkuu Wa TanzBwana Majaliwa Kassim Majaliwa, ambaye anaendelea na wadhifa wa Waziri Mkuu wa Tanzania kwa muhula wa pili, alizaliwa tarehe 22 Desemba mwaka 1960 yaani miaka 60 iliyopita.
...
Posted on: November 12th, 2020
Bunge la Tanzania limemuidhinisha, Mbunge wa Ruagwa Kassim Majaliwa kwa wadhifa wa Uwaziri Mkuu.
Majaliwa amepata kura za wabunge wote 350 waliopiga kura , sawa na 100%.
Amemshukuru Rais Maguful...
Posted on: November 10th, 2020
MKUU wa wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa Calorus Misungwi ametoa siku tatu kwa viongozi wa serikali za vijiji vitatu vya kata ya Kisumba kuhamasisha wananchi kujitokeza kwenye shughuli za maendeleo ya u...