Posted on: April 29th, 2020
Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa ametangaza ongezeko la wagonjwa196 wa virusi vya corona hapa nchini
Idadi hiyo sasa ndio kubwa zaidi kushinda taifa lolote lile la Jumuiya ya Afrika masharik...
Posted on: April 28th, 2020
Wizara ya Afya kisiwani Zanzibar imetangaza wagonjwa saba wapya wa virusi vya corona .
Tangazo hilo linafanya idadi ya wagonjwa wa virusi vya corona waliothibitishwa kisiwani Zanzibar kufi...
Posted on: April 28th, 2020
Mkuu wa wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa Julieth Binyura amewaamuru wananchi wote katika kijiji cha Kipwa kilichopo mpakani mwa nchi ya Tanzania na Zambia kuhamia katika maeneo ya miinuko kufuatia kijij...